Yeremia 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana kifo kimeingia kupitia madirisha yetu;Kimeingia ndani ya minara yetu yenye ngomeIli kuwaondoa watoto barabaraniNa vijana kwenye viwanja vya jiji.’+ Yeremia 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi waache wana wao wapatwe na njaa kali,Na uwatie mikononi mwa nguvu za upanga.+ Wake zao na wafiwe na watoto na kuwa wajane.+ Wanaume wao na wauawe kwa ugonjwa unaoua,Vijana wao wauawe kwa upanga vitani.+
21 Kwa maana kifo kimeingia kupitia madirisha yetu;Kimeingia ndani ya minara yetu yenye ngomeIli kuwaondoa watoto barabaraniNa vijana kwenye viwanja vya jiji.’+
21 Basi waache wana wao wapatwe na njaa kali,Na uwatie mikononi mwa nguvu za upanga.+ Wake zao na wafiwe na watoto na kuwa wajane.+ Wanaume wao na wauawe kwa ugonjwa unaoua,Vijana wao wauawe kwa upanga vitani.+