Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitawaponda kwa kuwagonganisha mtu na mwenzake, baba na wana pia,” asema Yehova.+ “Sitawahurumia wala kuwasikitikia kamwe wala kuwaonyesha rehema yoyote; hakuna kitakachonizuia nisiwaangamize.”’+

  • Yeremia 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘“Baada ya hayo,” asema Yehova, “Nitamtia Mfalme Sedekia wa Yuda na watumishi wake na watu wa jiji hili—wale watakaookoka ugonjwa hatari, upanga, na njaa kali—mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, mikononi mwa maadui wao na mikononi mwa wale wanaotaka kuwaua.*+ Atawaua kwa upanga. Hatawasikitikia wala kuwahurumia wala kuwaonyesha rehema yoyote.”’+

  • Maombolezo 3:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kwa hasira umeziba njia tusikukaribie;+

      Umetufuatia na kutuua bila huruma.+

  • Ezekieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Kwa hiyo, kwa hakika, kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa sababu mlipachafua mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu zote zinazochukiza na mazoea yenu yote yanayochukiza,+ mimi pia nitawakataa;* jicho langu halitasikitika, nami sitawahurumia.+

  • Ezekieli 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mnapaswa kuwaua wote kabisa, mzee, kijana, bikira, mtoto mdogo, na wanawake.+ Lakini msimkaribie mtu yeyote aliye na ile alama.+ Mnapaswa kuanzia mahali pangu patakatifu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya ile nyumba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki