Yeremia 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: “Ninawawekea watu hawa vikwazo,Nao watajikwaa juu yake,Akina baba na wana pia,Jirani na mwenzake,Nao wataangamia wote.”+ Ezekieli 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘“Kwa hiyo akina baba miongoni mwenu watawala wana wao,+ nao wana watawala baba zao, nami nitatekeleza hukumu kati yenu na kuwatawanya kila upande* wale waliobaki kati yenu.”’+
21 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: “Ninawawekea watu hawa vikwazo,Nao watajikwaa juu yake,Akina baba na wana pia,Jirani na mwenzake,Nao wataangamia wote.”+
10 “‘“Kwa hiyo akina baba miongoni mwenu watawala wana wao,+ nao wana watawala baba zao, nami nitatekeleza hukumu kati yenu na kuwatawanya kila upande* wale waliobaki kati yenu.”’+