Mambo ya Walawi 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi mtalazimika kula nyama ya wana wenu na nyama ya mabinti wenu.+ Yeremia 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nitawafanya wale nyama ya wana wao na ya mabinti wao, nao watakula kila mmoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kuzingirwa na kukata tamaa watakapobanwa na maadui wao wanaotaka kuwaua.”’*+ Maombolezo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao wenyewe.+ Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuangamia kwa binti ya watu wangu.+
9 Nami nitawafanya wale nyama ya wana wao na ya mabinti wao, nao watakula kila mmoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kuzingirwa na kukata tamaa watakapobanwa na maadui wao wanaotaka kuwaua.”’*+
10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao wenyewe.+ Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuangamia kwa binti ya watu wangu.+