Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Basi mtalazimika kula nyama ya wana wenu na nyama ya mabinti wenu.+

  • Maombolezo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, Ee Yehova, umwone yule uliyemtesa vikali.

      Je, wanawake wanapaswa kuendelea kula uzao wao wenyewe, watoto wao wenyewe waliokomaa,+

      Au, je, makuhani na manabii wanapaswa kuuawa mahali patakatifu pa Yehova?+

  • Maombolezo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata mbwamwitu huwapa watoto wao matiti wanyonye,

      Lakini binti ya watu wangu amekuwa mkatili,+ kama mbuni nyikani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki