-
Ezekieli 9:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Mnapaswa kuwaua wote kabisa, mzee, kijana, bikira, mtoto mdogo, na wanawake.+ Lakini msimkaribie mtu yeyote aliye na ile alama.+ Mnapaswa kuanzia mahali pangu patakatifu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya ile nyumba.+ 7 Kisha akawaambia: “Itieni nyumba unajisi na kuzijaza nyua wale waliouawa.+ Nendeni!” Basi wakaenda na kuwaua watu jijini.
-