Ezekieli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:6 Ibada Safi, kur. 174-176, 179-180 Mnara wa Mlinzi,4/15/1987, kur. 11-13
6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+