23 Kisha Yehova atakapopita katikati ili kuwaletea pigo Wamisri na kuiona damu kwenye sehemu ya juu ya mlango na kwenye ile miimo miwili ya mlango, hakika Yehova atapita juu ya mlango, naye hataruhusu uharibifu uingie ndani ya nyumba zenu na kuwaletea pigo.+