2 Wafalme 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mkuu wa walinzi alimchukua pia kuhani mkuu Seraya,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+ 2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Yeremia 25:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana tazama! ikiwa ninaleta msiba kwanza juu ya jiji linaloitwa kwa jina langu,+ je, ninyi pia hampaswi kuadhibiwa?”’+ “‘Hamtakosa kuadhibiwa, kwa maana ninauita upanga dhidi ya wakaaji wote wa dunia,’ asema Yehova wa majeshi.
18 Mkuu wa walinzi alimchukua pia kuhani mkuu Seraya,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+
21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+
29 Kwa maana tazama! ikiwa ninaleta msiba kwanza juu ya jiji linaloitwa kwa jina langu,+ je, ninyi pia hampaswi kuadhibiwa?”’+ “‘Hamtakosa kuadhibiwa, kwa maana ninauita upanga dhidi ya wakaaji wote wa dunia,’ asema Yehova wa majeshi.