Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Basi mtalazimika kula nyama ya wana wenu na nyama ya mabinti wenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Ndipo mtakapolazimika kuwala watoto wenu* wenyewe, nyama ya wana wenu na mabinti wenu+ ambao Yehova Mungu wenu amewapa, kwa sababu ya kuzingirwa kabisa na kwa sababu ya mateso yatakayosababishwa na adui yenu.

  • Maombolezo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, Ee Yehova, umwone yule uliyemtesa vikali.

      Je, wanawake wanapaswa kuendelea kula uzao wao wenyewe, watoto wao wenyewe waliokomaa,+

      Au, je, makuhani na manabii wanapaswa kuuawa mahali patakatifu pa Yehova?+

  • Maombolezo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao wenyewe.+

      Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuangamia kwa binti ya watu wangu.+

  • Ezekieli 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘“Kwa hiyo akina baba miongoni mwenu watawala wana wao,+ nao wana watawala baba zao, nami nitatekeleza hukumu kati yenu na kuwatawanya kila upande* wale waliobaki kati yenu.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki