2 Wafalme 6:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mfalme akamuuliza: “Una shida gani?” Akamjibu: “Mwanamke huyu aliniambia, ‘Mtoe mwana wako tumle leo, na mwanangu tutamla kesho.’+ Maombolezo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao wenyewe.+ Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuangamia kwa binti ya watu wangu.+ Ezekieli 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘“Kwa hiyo akina baba miongoni mwenu watawala wana wao,+ nao wana watawala baba zao, nami nitatekeleza hukumu kati yenu na kuwatawanya kila upande* wale waliobaki kati yenu.”’+
28 Mfalme akamuuliza: “Una shida gani?” Akamjibu: “Mwanamke huyu aliniambia, ‘Mtoe mwana wako tumle leo, na mwanangu tutamla kesho.’+
10 Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao wenyewe.+ Wamekuwa chakula chao cha maombolezo wakati wa kuangamia kwa binti ya watu wangu.+
10 “‘“Kwa hiyo akina baba miongoni mwenu watawala wana wao,+ nao wana watawala baba zao, nami nitatekeleza hukumu kati yenu na kuwatawanya kila upande* wale waliobaki kati yenu.”’+