2 Wafalme 6:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na mfalme akaendelea kumwambia tena: “Una nini?” Kwa hiyo mwanamke huyo akasema: “Huyu mwanamke aliniambia, ‘Mtoe mwana wako ili tumle leo, na mwanangu tutamla kesho.’+
28 Na mfalme akaendelea kumwambia tena: “Una nini?” Kwa hiyo mwanamke huyo akasema: “Huyu mwanamke aliniambia, ‘Mtoe mwana wako ili tumle leo, na mwanangu tutamla kesho.’+