53 Ndipo utalazimika kula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako,+ ambao Yehova Mungu wako amekupa wewe, kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao.
15 Je, mke anaweza kumsahau mtoto wake anayenyonya hivi kwamba asimhurumie mwana wa tumbo lake?+ Hata hawa wanawake wanaweza kusahau,+ lakini mimi mwenyewe sitakusahau wewe.+
10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+