Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo mtakula nyama ya wana wenu, nanyi mtakula nyama ya binti zenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Naye mwanamke aliye mwororo sana na aliye laini kati yako ambaye hakujaribu kamwe kuuweka wayo wa mguu wake kwenye udongo kwa kuwa alikuwa laini na kwa sababu ya wororo wake,+ jicho lake litakuwa na mwelekeo mwovu kwa mume wake anayetunzwa kwa upendo na mwana wake na binti yake,

  • 2 Wafalme 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na mfalme akaendelea kumwambia tena: “Una nini?” Kwa hiyo mwanamke huyo akasema: “Huyu mwanamke aliniambia, ‘Mtoe mwana wako ili tumle leo, na mwanangu tutamla kesho.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki