Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo,+ na wewe, Ee Israeli, kwa sababu wewe ni mtumishi wangu.+ Mimi nimekufanya.+ Wewe ni mtumishi wangu. Ee Israeli, mimi sitakusahau.+

  • Yeremia 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Je, Efraimu ni mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto anayetendewa kwa upendo?+ Kwa maana kwa kiasi ninachosema vibaya juu yake bila shaka nitamkumbuka zaidi.+ Ndiyo sababu matumbo yangu yamekuwa na msukosuko kwa ajili yake.+ Kwa kuwa nitamhurumia kabisa,”+ asema Yehova.

  • Waroma 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki