Yeremia 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 31:20 w12 4/1 11; jr 180-181 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:20 Mnara wa Mlinzi,4/1/2012, uku. 1111/1/1994, uku. 12 Yeremia, kur. 180-181
20 “Je, Efraimu si mwana mwenye thamani kwangu, au mtoto mpendwa?+ Kwa maana kila mara ninapomshutumu, bado ninamkumbuka. Ndiyo sababu hisia zangu zimechochewa* kwa ajili yake.+ Nami hakika nitamhurumia,” asema Yehova.+