Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.