6 “ ‘Kwa maana sitawahurumia tena wakaaji wa nchi,’+ asema Yehova. ‘Kwa hiyo nawafanya wanadamu wajikute, kila mmoja katika mkono wa mwenzake+ na katika mkono wa mfalme+ wake; nao wataivunja nchi vipande-vipande, nami sitakomboa kwa vyovyote kutoka mkononi mwao.’ ”+