Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+

      Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+

      Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+

  • Zekaria 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “ ‘Kwa maana sitawahurumia tena wakaaji wa nchi,’+ asema Yehova. ‘Kwa hiyo nawafanya wanadamu wajikute, kila mmoja katika mkono wa mwenzake+ na katika mkono wa mfalme+ wake; nao wataivunja nchi vipande-vipande, nami sitakomboa kwa vyovyote kutoka mkononi mwao.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki