Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 anayehifadhi fadhili zenye upendo kwa ajili ya maelfu,+ anayesamehe kosa na ubaya na dhambi,+ lakini kwa vyovyote hatakosa kuadhibu,+ anayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya wajukuu, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne.”+

  • Yeremia 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitawagonganisha mmoja na mwingine, akina baba na wana, wakati uleule,”+ asema Yehova. “Sitaonyesha huruma, wala kuwa na majonzi, nami sitakuwa na rehema ya kujizuia kuwaharibu.”’+

  • Maombolezo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.

      Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.

      Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+

  • Maombolezo 3:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Umeweka kizuizi kwa hasira usiweze kufikiwa,+ nawe unaendelea kutufuatilia.+ Umeua; hukuonyesha huruma yoyote.+

  • Ezekieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Kwa hiyo kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa hakika kwa sababu ni patakatifu pangu ulipopatia unajisi kwa machukizo+ yako yote na kwa vinyaa+ vyako vyote, mimi mwenyewe pia Ndiye nitakayekupunguza+ wewe nalo jicho langu halitakusikitikia+ na mimi mwenyewe sitakuhurumia.+

  • Ezekieli 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na jicho langu halitakusikitikia, wala sitakuwa na huruma,+ kwa maana juu yako nitazileta njia zako mwenyewe, na katikati yako machukizo yako mwenyewe yatakuja kuwamo;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki