Kumbukumbu la Torati 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+ Maombolezo 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+ Ezekieli 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+
26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+
2 Yehova amemeza, hakuonyesha huruma juu ya makao+ yoyote ya Yakobo.Katika hasira yake amebomoa ngome+ za binti Yuda.Ameangusha chini,+ ametia unajisi ufalme+ na wakuu wake.+
10 Na mimi pia, jicho langu halitasikitika,+ wala sitaonyesha huruma.+ Hakika nitaileta njia yao juu ya kichwa chao wenyewe.”+