Kumbukumbu la Torati 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+ Maombolezo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+ Maombolezo 3:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Umeweka kizuizi kwa hasira usiweze kufikiwa,+ nawe unaendelea kutufuatilia.+ Umeua; hukuonyesha huruma yoyote.+
30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+
17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+
43 Umeweka kizuizi kwa hasira usiweze kufikiwa,+ nawe unaendelea kutufuatilia.+ Umeua; hukuonyesha huruma yoyote.+