Isaya 39:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe watakaotoka kwako ambao utawazaa, watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mfalme+ katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+ Isaya 43:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo nitawatia unajisi wakuu wa mahali patakatifu, nami nitamtoa Yakobo awe mtu wa kuangamizwa na kumtoa Israeli kwa ajili ya matukano.+
7 ‘Na baadhi ya wana wako mwenyewe watakaotoka kwako ambao utawazaa, watachukuliwa+ na kuwa maofisa wa makao ya mfalme+ katika jumba la mfalme wa Babiloni.’”+
28 Kwa hiyo nitawatia unajisi wakuu wa mahali patakatifu, nami nitamtoa Yakobo awe mtu wa kuangamizwa na kumtoa Israeli kwa ajili ya matukano.+