Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.

  • Ezekieli 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na jicho langu halitakusikitikia, wala sitakuwa na huruma,+ kwa maana juu yako nitazileta njia zako mwenyewe, na katikati yako machukizo yako mwenyewe yatakuja kuwamo;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’+

  • Ezekieli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mimi mwenyewe pia nitachukua hatua katika ghadhabu.+ Jicho langu halitasikitika, wala sitakuwa na huruma.+ Nao hakika wataita masikioni mwangu kwa sauti kubwa, lakini sitawasikia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki