Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘Nami nitaita upanga juu yake kotekote katika eneo langu lote lenye milima,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Upanga wa kila mmoja utakuwa juu ya ndugu yake.+

  • Mika 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+

  • Hagai 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitakipindua kiti cha falme na kuangamiza nguvu za falme za mataifa.+ Nitalipindua gari na wapandaji wake, na farasi na wapandaji wao wataanguka,+ kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’ ”+

  • Zekaria 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe nikasema: “Sitaendelea kuwachunga ninyi.+ Yule anayekufa, na afe. Na yule anayefutiliwa mbali, na afutiliwe mbali.+ Na wale waliobaki, kila mmoja na ale nyama ya mwenzake.”+

  • Zekaria 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba mvurugo kutoka kwa Yehova utaenea katikati yao;+ na kila mmoja wao ataukamata mkono wa mwenzake, na mkono wake utainuka juu ya mkono wa mwenzake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki