Zaburi 50:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+ Waebrania 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+
22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+
27 lakini kuna tarajio hakika lenye kuogopesha la hukumu+ na kuna wivu unaowaka moto ambao utawateketeza wale wanaopinga.+