Ezekieli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+
6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+