Mambo ya Walawi 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi mwenyewe nitamkataa* mtu huyo, nami nitamwangamiza, kwa sababu amemtoa mtoto wake dhabihu kwa Moleki, ametia unajisi mahali pangu patakatifu+ na kulichafua jina langu takatifu.
3 Mimi mwenyewe nitamkataa* mtu huyo, nami nitamwangamiza, kwa sababu amemtoa mtoto wake dhabihu kwa Moleki, ametia unajisi mahali pangu patakatifu+ na kulichafua jina langu takatifu.