Methali 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ee mwanangu, shika amri ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+ Luka 2:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Naye akashuka kwenda pamoja nao mpaka Nazareti, naye akaendelea kujitiisha+ kwao. Pia, mama yake akaweka kwa uangalifu maneno yote hayo moyoni mwake.+ Waefeso 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+
51 Naye akashuka kwenda pamoja nao mpaka Nazareti, naye akaendelea kujitiisha+ kwao. Pia, mama yake akaweka kwa uangalifu maneno yote hayo moyoni mwake.+