Kumbukumbu la Torati 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+ Waefeso 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+
18 “Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+