Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Methali 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+

  • Ezekieli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wamemtendea dharau baba na mama ndani yako.+ Wamemtendea mkaaji mgeni ndani yako kwa upunjaji.+ Wamewatendea vibaya mvulana asiye na baba na mjane ndani yako.” ’ ”+

  • Waefeso 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki