Mwanzo 37:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ndugu zake wakaanza kumwonea wivu,+ lakini baba yake akayatia moyoni maneno hayo.+ Danieli 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Huu ndio mwisho wa jambo hilo. Nami, Danieli, mawazo yangu yalizidi kuniogopesha sana, hata rangi ya uso wangu ikabadilika; hata hivyo jambo hilo nikaliweka moyoni mwangu.”+ Luka 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 lakini Maria akaanza kuyahifadhi maneno hayo yote, akikata kauli moyoni mwake.+
28 “Huu ndio mwisho wa jambo hilo. Nami, Danieli, mawazo yangu yalizidi kuniogopesha sana, hata rangi ya uso wangu ikabadilika; hata hivyo jambo hilo nikaliweka moyoni mwangu.”+