Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ndugu zake wakaanza kumwonea wivu,+ lakini baba yake akayatia moyoni maneno hayo.+

  • Danieli 7:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Huu ndio mwisho wa jambo hilo. Nami, Danieli, mawazo yangu yalizidi kuniogopesha sana, hata rangi ya uso wangu ikabadilika; hata hivyo jambo hilo nikaliweka moyoni mwangu.”+

  • Luka 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 lakini Maria akaanza kuyahifadhi maneno hayo yote, akikata kauli moyoni mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki