66 na wote waliosikia wakaliweka mioyoni+ mwao, wakisema: “Kwa kweli mtoto huyu mchanga atakuwa wa namna gani?” Kwa maana kwa kweli mkono+ wa Yehova ulikuwa pamoja naye.
51 Naye akashuka kwenda pamoja nao mpaka Nazareti, naye akaendelea kujitiisha+ kwao. Pia, mama yake akaweka kwa uangalifu maneno yote hayo moyoni mwake.+