Waamuzi 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Samsoni+ akamlilia Yehova akisema, “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, nikumbuke, tafadhali, na kunitia nguvu,+ tafadhali, mara hii moja tu, Ee Mungu, acha niwalipize kisasi Wafilisti kwa ajili ya jicho moja tu, kati ya macho yangu mawili.”+
28 Ndipo Samsoni+ akamlilia Yehova akisema, “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, nikumbuke, tafadhali, na kunitia nguvu,+ tafadhali, mara hii moja tu, Ee Mungu, acha niwalipize kisasi Wafilisti kwa ajili ya jicho moja tu, kati ya macho yangu mawili.”+