Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+

  • Zaburi 58:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+

      Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+

  • Zaburi 143:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+

      Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+

      Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki