Waamuzi 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+ Zaburi 58:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+ Zaburi 143:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+
21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+
12 Na katika fadhili zako zenye upendo uwanyamazishe adui zangu;+Nawe uwaangamize wote wanaoichukia nafsi yangu,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+