Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akampasua vipande viwili, kama vile mtu anavyompasua mwana-mbuzi vipande viwili, wala hapakuwa na kitu chochote mkononi mwake. Naye hakumwambia baba yake wala mama yake jambo alilokuwa amefanya.

  • Waamuzi 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Halafu roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ kisha akashuka Ashkeloni,+ akawapiga watu 30 kati yao, akachukua mavazi aliyowavua, akawapa mavazi hayo wale wasemaji wa kile kitendawili.+ Na hasira yake ikaendelea kuwaka, akapanda kwenda zake kwa nyumba ya baba yake.

  • Waamuzi 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaja mpaka Lehi, nao Wafilisti wakapaaza sauti kwa shangwe walipokutana naye.+ Na roho ya Yehova+ ikaanza kutenda kazi juu yake, na zile kamba zilizokuwa kwenye mikono yake zikawa kama nyuzi za kitani ambazo zimeunguzwa kwa moto,+ nazo pingu zake zikayeyuka kutoka kwenye mikono yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki