Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (kutoka kile kijito cha Nile kilichoko mbele ya Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini,+ ilikuwa ikihesabiwa kuwa ni ya Wakanaani);+ wakuu watano+ wa muungano wa Wafilisti, Wagaza+ na Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi+ na Waekroni;+ na Waavimu.+

  • Waamuzi 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha Yuda akateka Gaza+ na eneo lake na Ashkeloni+ na eneo lake na Ekroni+ na eneo lake.

  • Yeremia 47:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Upara+ utakuja Gaza.+ Ashkeloni+ limenyamazishwa. Ee mabaki ya nchi yao tambarare ya chini, utaendelea kujitia mikato mpaka wakati gani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki