Zaburi 74:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+ Yeremia 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+
18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+
15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+