Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Au ikiwa nafsi inaapa kiasi cha kusema kwa midomo yake bila kufikiri+ kwamba itende uovu+ au kufanya mema kuhusiana na jambo lolote ambalo huenda mtu huyo akasema bila kufikiri katika ahadi yenye kiapo,+ ingawa lilikuwa limefichwa machoni pake, na hata hivyo yeye mwenyewe amepata kulijua, basi amekuwa na hatia kuhusiana na moja kati ya mambo hayo.

  • Hesabu 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+

  • Waamuzi 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa katika Mispa,+ wakisema: “Hakuna mtu yeyote kati yetu atakayempa Benyamini binti yake awe mke wake.”+

  • Methali 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni mtego wakati mtu wa udongo amepaaza sauti kwa haraka, “Ni kitakatifu!”+ na baada ya kuweka nadhiri+ ndipo anaelekea kufanya uchunguzi.+

  • Mhubiri 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki