Zaburi 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+ Zaburi 50:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+Na umtimizie Aliye Juu Zaidi nadhiri zako;+ Zaburi 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+Nitakutimizia nadhiri zangu.+ Nahumu 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+
25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+
15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+