Mathayo 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+ Luka 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Zekaria akamwambia malaika: “Nitakuwaje na uhakika juu ya jambo hili? Kwa maana nina umri mkubwa+ na mke wangu amesonga sana katika miaka.”
10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+
18 Naye Zekaria akamwambia malaika: “Nitakuwaje na uhakika juu ya jambo hili? Kwa maana nina umri mkubwa+ na mke wangu amesonga sana katika miaka.”