Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi, akaanza kucheka na kusema moyoni mwake:+ “Je, mtu wa umri wa miaka 100 atazaa mtoto, na je, Sara, ndiyo, je, mwanamke wa umri wa miaka 90 atazaa?”+

  • Mwanzo 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Abrahamu na Sara walikuwa wazee, wamesonga katika miaka.+ Sara alikuwa ameacha kuwa na hedhi.+

  • Waroma 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na, ijapokuwa hakudhoofika katika imani, alifikiria juu ya mwili wake mwenyewe, ukiwa sasa tayari umekufa,+ kwa kuwa alikuwa mwenye umri wa karibu miaka mia moja,+ pia hali ya kufa ya tumbo la uzazi la Sara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki