17 Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi, akaanza kucheka na kusema moyoni mwake:+ “Je, mtu wa umri wa miaka 100 atazaa mtoto, na je, Sara, ndiyo, je, mwanamke wa umri wa miaka 90 atazaa?”+
19 Na, ijapokuwa hakudhoofika katika imani, alifikiria juu ya mwili wake mwenyewe, ukiwa sasa tayari umekufa,+ kwa kuwa alikuwa mwenye umri wa karibu miaka mia moja,+ pia hali ya kufa ya tumbo la uzazi la Sara.+