19 “‘Na ikiwa mwanamke ana mtiririko unaotoka, nao mtiririko wake unaotoka katika mwili wake uwe ni damu,+ ataendelea kwa siku saba kuwa katika uchafu+ wake wa hedhi,+ na yeyote atakayemgusa atakuwa asiye safi mpaka jioni.
19 Na, ijapokuwa hakudhoofika katika imani, alifikiria juu ya mwili wake mwenyewe, ukiwa sasa tayari umekufa,+ kwa kuwa alikuwa mwenye umri wa karibu miaka mia moja,+ pia hali ya kufa ya tumbo la uzazi la Sara.+