Ezekieli 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wameufunua uchi wa baba ndani yako;+ wamemfedhehesha mwanamke asiye safi katika hedhi yake ndani yako.+ Ezekieli 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, nyumba ya Israeli walikuwa wakikaa katika nchi yao, nao wakaendelea kuichafua kwa njia yao na kwa matendo yao.+ Njia yao imekuwa mbele zangu kama uchafu wa hedhi.+
10 Wameufunua uchi wa baba ndani yako;+ wamemfedhehesha mwanamke asiye safi katika hedhi yake ndani yako.+
17 “Mwana wa binadamu, nyumba ya Israeli walikuwa wakikaa katika nchi yao, nao wakaendelea kuichafua kwa njia yao na kwa matendo yao.+ Njia yao imekuwa mbele zangu kama uchafu wa hedhi.+