Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ikiwa mwanamke atachukua mimba+ na kuzaa mtoto wa kiume, atakuwa asiye safi kwa siku saba; kama vile katika siku za uchafu wakati anapokuwa na hedhi atakuwa asiye safi.+

  • Mambo ya Walawi 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Sasa, ikiwa atazaa mtoto wa kike, basi atakuwa asiye safi kwa siku 14, kama vile wakati wa kuwa na hedhi. Kwa siku 66 zaidi atakaa katika damu ya utakaso wake.

  • Mambo ya Walawi 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kitanda chochote ambacho huenda atalalia katika yoyote ya siku za mtiririko wake unaotoka kitakuwa kwake kitanda cha uchafu wa hedhi,+ na chombo chochote ambacho huenda atakalia kitakuwa si safi kama ule uchafu wake wa hedhi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki