Mwanzo 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi, akaanza kucheka na kusema moyoni mwake:+ “Je, mtu wa umri wa miaka 100 atazaa mtoto, na je, Sara, ndiyo, je, mwanamke wa umri wa miaka 90 atazaa?”+
17 Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi, akaanza kucheka na kusema moyoni mwake:+ “Je, mtu wa umri wa miaka 100 atazaa mtoto, na je, Sara, ndiyo, je, mwanamke wa umri wa miaka 90 atazaa?”+