2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+
6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+