Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+

  • Mhubiri 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki