- 
	                        
            
            Malaki 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.” Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?” “Katika sehemu za kumi na katika michango. 
 
-