2 “Sema na wana wa Israeli,+ nawe utawaambia, ‘Ikiwa mtu fulani kati yenu atatoa toleo kwa Yehova kutoka katika wanyama wa kufugwa, mtatoa toleo lenu kutoka katika mifugo na kutoka katika kundi.
2“‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.