18 “Sema na Haruni na wanawe na wana wote wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni katika Israeli anayetoa toleo lake,+ kwa ajili ya nadhiri+ yao yoyote au kwa ajili ya matoleo yao ya hiari,+ ambayo huenda wakamtolea Yehova kwa ajili ya toleo la kuteketezwa,