34 Katika siku zake Hieli Mbetheli akajenga Yeriko. Kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza yeye aliuweka msingi wake, na kwa kufiwa na Segubu mwana wake aliye mdogo zaidi yeye aliisimamisha milango yake, kulingana na neno la Yehova alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.+